Ziwa Bisina

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Bisina (au ziwa Salisbury) ni ziwa dogo la Uganda kaskazini kwa Ikweta (Wilaya ya Kumi).

Ziwa hilo hupokea maji kutoka Ziwa Opeta na huyamwaga katika Ziwa Kyoga.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]