Ziwa Mburo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mito na maziwa ya Uganda. Bonyeza ili kukuza ramani.

Ziwa Mburo ni ziwa dogo la Uganda kusini kwa Ikweta, katika wilaya ya Kiruhura.

Ziwa hilo lina eneo la kilometa mraba 13.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Orodha ya maziwa ya Uganda

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]