Tarehe za maisha ya Yesu

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Karne za Kati kutoka Urusi ikionyesha maisha ya Yesu.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Jesus
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Tarehe za maisha ya Yesu zinakadiriwa ili kuzidi kumfahamu Yesu kadiri ya historia.

Hii ni kwa sababu Injili na vitabu vingine juu yake havitaji kwa kawaida tarehe wala mwaka wa matukio vinavyoyasimulia.

Hata hivyo, vikitaja watu wanaojulikana na historia kwa njia nyingine (kwa mfano Kaisari Augusto na Kaisari Tiberi), au mambo mengine ya namna hiyo, inaweza kujua kwa kiasi kikubwa au kidogo mwaka au hata tarehe ya matukio hayo.[1][2]

Muhimu zaidi ni kukadiria Yesu alizaliwa akafariki lini.

Kuhusu kuzaliwa kwake, inajulikana kuwa kulitokea chini ya mfalme Herode Mkuu, aliyetawala hadi alipofariki mwaka 4 KK. Hivyo, wengi wanakubali kwamba Yesu alizaliwa kidogo kabla ya hapo, labda mwaka 6 KK[3][4][5][6]ingawa Denis Mdogo kwa kukosea alihesabu tofauti miaka 500 baadaye alipoona inafaa kugawa miaka yote ya historia katika makundi mawili, KK na BK.

Kuhusu kifo chake, kinashuhudiwa hata nje ya Biblia[7][8][9][10][11] kuwa kilitokea chini ya Ponsyo Pilato,[12][13][14] liwali wa Palestina kuanzia mwaka 26 hadi 36 BK.[15][16][17][18][19][19][16][20][21][22]Hivyo kifo cha Yesu kilitokea katika miaka hiyo.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Brown, Raymond E. (1994). The Death of the Messiah: from Gethsemane to the Grave: A Commentary on the Passion Narratives in the Four Gospels. New York: Doubleday, Anchor Bible Reference Library. p. 964. ISBN 978-0-385-19397-9. 
  2. Paula Fredriksen, 1999, Jesus of Nazareth, King of the Jews, Alfred A. Knopf Publishers, pages=6–7, 105–10, 232–34, 266
  3. Dunn, James DG (2003). "Jesus Remembered". Eerdmans Publishing. p. 324. 
  4. Some of the historians and Biblical scholars who place the birth and death of Jesus within this range include D. A. Carson, Douglas J. Moo and Leon Morris. An Introduction to the New Testament. Grand Rapids, MI: Zondervan Publishing House, 1992, 54, 56
  5. Michael Grant, Jesus: An Historian's Review of the Gospels, Scribner's, 1977, p. 71.
  6. Ben Witherington III, "Primary Sources," Christian History 17 (1998) No. 3:12–20.
  7. The Cradle, the Cross, and the Crown: An Introduction to the New Testament by Andreas J. Köstenberger, L. Scott Kellum 2009 ISBN 978-0-8054-4365-3 page 104-108
  8. Evans, Craig A. (2001). Jesus and His Contemporaries: Comparative Studies ISBN 0-391-04118-5 page 316
  9. Wansbrough, Henry (2004). Jesus and the oral Gospel tradition ISBN 0-567-04090-9 page 185
  10. James Dunn states that there is "broad consensus" among scholars regarding the nature of an authentic reference to the crucifixion of Jesus in the Testimonium.Dunn, James (2003). Jesus remembered ISBN 0-8028-3931-2 page 141
  11. Skeptic Wells also states that after Shlomo Pines' discovery of new documents in the 1970s scholarly agreement on the authenticity of the nucleus of the Testimonium was achieved, The Jesus Legend by G. A. Wells 1996 ISBN 0812693345 page 48: "... that Josephus made some reference to Jesus, which has been retouched by a Christian hand. This is the view argued by Meier as by most scholars today particularly since S. Pines..." Josephus scholar Louis H. Feldman views the reference in the Testimonium as the first reference to Jesus and the reference to Jesus in the death of James passage in Book 20, Chapter 9, 1 of the Antiquities as "the aforementioned Christ", thus relating the two passages.Feldman, Louis H.; Hata, Gōhei, eds. (1987). Josephus, Judaism and Christianity ISBN 978-90-04-08554-1 page 55
  12. Pontius Pilate: portraits of a Roman governor by Warren Carter 2003 ISBN 0-8146-5113-5 pages 44-45
  13. The history of the Jews in the Greco-Roman world by Peter Schäfer 2003 ISBN 0-415-30585-3 page 108
  14. Backgrounds of early Christianity by Everett Ferguson 2003 ISBN 0-8028-2221-5 page 416
  15. Bromiley, Geoffrey W. (1995), International Standard Bible Encyclopedia. Wm. B. Eerdmans Publishing. vol. K-P. p. 929.
  16. 16.0 16.1 Van Voorst, Robert E (2000). Jesus Outside the New Testament: An Introduction to the Ancient Evidence Eerdmans Publishing ISBN 0-8028-4368-9 pages 39-42
  17. Backgrounds of early Christianity by Everett Ferguson 2003 ISBN 0-8028-2221-5 page 116
  18. Theissen 1998, pp. 81-83
  19. 19.0 19.1 Green, Joel B. (1997). The Gospel of Luke : new international commentary on the New Testament. Grand Rapids, Mich.: W.B. Eerdmans Pub. Co. p. 168. ISBN 0-8028-2315-7. 
  20. Jesus and His Contemporaries: Comparative Studies by Craig A. Evans 2001 ISBN 0-391-04118-5 page 42
  21. Mercer dictionary of the Bible by Watson E. Mills, Roger Aubrey Bullard 2001 ISBN 0-86554-373-9 page 343
  22. Pontius Pilate in History and Interpretation by Helen K. Bond 2004 ISBN 0-521-61620-4 page xi

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Tarehe za maisha ya Yesu kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.