Stanislaus Kazimierczyk

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro wa Mt. Stanislaus.

Stanislaus Kazimierczyk (27 Septemba 1433 - 3 Mei 1489) alikuwa padri kanoni wa Kanisa Katoliki nchini Poland maarufu kwa ibada yake kwa Yesu ekaristi na kwa huruma yake kwa maskini[1][2]. Alijitahidi kuhubiri Neno la Mungu na kuwapa watu huduma za kitubio na uongozi wa kiroho.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 18 Aprili 1993. Halafu Papa Benedikto XVI alimtangaza mtakatifu tarehe 17 Oktoba 2010.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Mei[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Saint Stanisław Kazimierczyk". Krakow WYD 2016. Iliwekwa mnamo 1 November 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92551
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.