Erwin Schrödinger

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Erwin Schrödinger (12 Agosti, 18874 Januari, 1961) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Austria. Hasa alichunguza sifa za mawimbi ndani ya nadharia ya kwanta. Mwaka wa 1933, pamoja na Paul Dirac alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Image:WikiLettreMini.svg Makala hiyo kuhusu "Erwin Schrödinger" bado ni mbegu. Unaweza kusaidia kuikuza kwa kubofya kitufe kilichoandikwa "hariri".

Ikiwepo makala kuhusu Erwin Schrödinger kwa lugha nyingine, unaweza kuitafsiri kwa Kiswahili.

Vifaa binafsi