Donati wa Arezzo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muujiza wa Mt. Donati, mchoro wa Jusepe de Ribera, Musée de Picardie.

Donati wa Arezzo (alifariki Arezzo, Toscana, Italia, 7 Agosti 362 BK) anakumbukwa kama askofu wa 2 wa mji huo wa Italia ya Kati. Labda alitokea Nikomedia, leo nchini Uturuki, au Roma.

Papa Gregori I alimsifu kwa maadili na kwa uwezo wa sala yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, pengine kama mfiadini pia.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Agosti[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/33900
  2. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.