Yosefu Manyanet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Yosesu Manyanet.

Yosefu Manyanet (jina kamili: Josep Manyanet i Vives; Tremp, Lleida, 7 Februari 1833 – San Andreu del Palomar, Barcelona, 17 Desemba 1901) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Hispania. Baada ya kuwa paroko sehemu mbalimbali, alianzisha shirika la Wana wa Familia Takatifu, pamoja na lile ya Mabinti Wamisionari wa Familia Takatifu.[1][2]

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 25 Novemba 1984 halafu mtakatifu tarehe 16 Mei 2004.[3]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Saint Josep Manyanet y Vives". Saints SQPN. 16 December 2015. Iliwekwa mnamo 21 October 2016.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  2. "Josep Manyanet y Vives (1833-1901)". Vatican News Services. Iliwekwa mnamo 21 October 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. "Saint Josep Manyanet y Vives". Santi e Beati. Iliwekwa mnamo 21 October 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  4. Martyrologium Romanum

Machapisho yake[hariri | hariri chanzo]

  • A Priceless Family Gem (1909)
  • The Spirit of the Holy Family
  • Selected Works (1911)
  • Complete Works

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.