Yosefu I wa Aleksandria
Yosefu I wa Aleksandria (771 - 2 Novemba 849) kuanzia mwaka 831 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 52 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |