Yakobo Hilari Barbal
Mandhari
Yakobo Hilari Barbal (Enviny, Lleida, 2 Januari 1898 - Tarragona 28 Julai 1937) alikuwa bruda wa Kanisa Katoliki nchini Hispania katika shirika la Mabradha wa Shule za Kikristo [1].
Mwalimu kwa miaka 20 hivi, hatimaye aliuawa na waasi wa dini waliochukia Kanisa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Hispania, wa kwanza kati ya 97 wa shirika lake[2].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 29 Aprili 1990, halafu mtakatifu tarehe 21 Novemba 1999.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/90243
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-01-21. Iliwekwa mnamo 2021-07-21.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- San Jaime Hilario
- San Jaime Hilario en Santopedia Ilihifadhiwa 15 Februari 2021 kwenye Wayback Machine.
- Find a Grave - Br Manuel "Jaime Hilario" Barbal i Cosín
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |