Wilaya ya Kilindi
Kwa maana mbalimbali ya jina hili tazama hapa Kilindi
Kilindi District Council | |
Location in Tanzania (dark green) | |
Country | Tanzania |
---|---|
Zone | Northern |
Region | Tanga |
Serikali | |
- DC | Mh.Sauda Salumu Mtondoo |
- DED | Mr.Clemence Mwakasendo |
Eneo | |
- Jumla | 3,428.43 km² |
Idadi ya wakazi (2012) | |
- Wakazi kwa ujumla | 236,833 |
EAT | (UTC+3) |
Msimbo wa posta | 216xx |
Kodi ya simu | 027 |
Tovuti: kilindidc.go.tz |
Wilaya ya Kilindi ni kati ya wilaya 10 za Mkoa wa Tanga katika Tanzania yenye postikodi namba 74208 .[1]. Imepakana na wilaya ya Handeni upande wa mashariki, Mkoa wa Kilimanjaro upande wa magharibi-kaskazini na Mkoa wa Morogoro upande wa kusini.
Mwaka 2012 ilikuwa na wakazi 236,833 [2] walioishi katika kata 20 za wilaya hiyo.
Makao makuu ya wilaya apo Songe.
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Kata za Wilaya ya Kilindi - Mkoa wa Tanga - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Jaila | Kibirashi | Kikunde | Kilindi | Kilwa | Kimbe | Kisangasa | Kwediboma | Kwekivu | Lwande | Mabalanga | Masagulu | Mkindi | Msanja | Mvungwe | Negero | Pagwi | Saunyi | Songe | Tunguli |
![]() | |
---|---|
Arusha | Dar es Salaam | Dodoma | Geita | Iringa | Kagera | Katavi | Kigoma | Kilimanjaro | Lindi | Manyara | Mara | Mbeya | Morogoro | Mtwara | Mwanza | Njombe | Pemba Kaskazini | Pemba Kusini | Pwani | Rukwa | Ruvuma | Shinyanga | Simiyu | Singida | Songwe | Tabora | Tanga | Unguja Kaskazini | Unguja Kusini | Unguja Mjini Magharibi |