Wayahudi saba na mama yao

Wayahudi saba na mama yao (walifariki 167-160 KK) ni wafiadini wa karne ya 2 KK wanaojulikana kupitia sura ya 7 ya Kitabu cha pili cha Wamakabayo ambacho ni kati ya Deuterokanoni na kupitia vyanzo vingine.
Majina yao hayajulikani kwa hakika, lakini ni wazi kwamba wanasifiwa na Waraka kwa Waebrania pia (11:35)[1].
Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu.
Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 1 Agosti[2].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ James Akin, Defending the Deuterocanonicals Archived 16 Julai 2019 at the Wayback Machine.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wayahudi saba na mama yao kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |