Waldebati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Waldebati (pia: Waldebert, Gaubert, Valbert, Walbert; 595 hivi - 668 hivi) alikuwa mtawala tajiri na askari ambaye alipata kuwa mkaapweke na hatimaye abati wa tatu wa Luxeuil kuanzia mwaka 628, akimrithi Eustasi, mwanafunzi wa Kolumbani[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 2 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.