Nenda kwa yaliyomo

Vito wa Verdun

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Vito wa Verdun (pia: Vitonus, Vanne, Vaune; alifariki 525) alikuwa askofu wa 8 wa mji huo, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, aliyeteuliwa na mfalme Klovis I mwaka 498 [1].

Kabla ya hapo alikuwa mmonaki tangu ujanani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Novemba[2].

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.