Venansi, Anastasi na wenzao
Mandhari

Venansi, Anastasi na wenzao Mauro, Pauliniani, Telio, Asteri, Septimi, Antiokiani na Gaiani (walifariki katika eneo ambalo leo liko nchini Kroasya, 257 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa katika dhuluma ya Dola la Roma kwa sababu ya imani yao. Venansi alikuwa askofu wa Salona[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |