Usariver

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Usa River)


Kata ya Usariver
Nchi Tanzania
Mkoa Arusha
Wilaya Meru
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 29,938

Usariver ni mji wa Wilaya ya Meru katika Mkoa wa Arusha, Tanzania, yenye postikodi namba 23301. Mji uko takriban katikati ya jiji la Arusha na Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro kando ya barabara kuu kutoka Arusha kwenda Moshi.

Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2022, kata ilikuwa na wakazi wapatao 29,938 [1] waishio humo. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 23,437 [2] walioishi humo.

Usariver pana makao makuu ya wilaya.

Usariver inajulikana kimataifa kutokana na chuo cha theolojia cha Makumira ambacho leo kimekuwa kitengo cha Chuo Kikuu cha Tumaini cha KKKT.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Arusha - Meru DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-21.
Kata za Wilaya ya Meru - Mkoa wa Arusha - Tanzania

Akheri | Ambureni | Imbaseni | Kikatiti | Kikwe | King'ori | Leguruki | Majengo | Maji ya Chai | Makiba | Malula | Maroroni | Maruvango | Mbuguni | Ngabobo | Ngarenanyuki | Nkoanekoli | Nkoanrua | Nkoaranga | Nkoarisambu | Poli | Seela Sing'isi | Shambarai Burka | Songoro | Usariver | Uwiro


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Usariver kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.