Usa River
Kata ya Usa River | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Arusha |
Wilaya | Meru |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 23,437 |

Usa River ni jina la mji wa Wilaya ya Meru katika Mkoa wa Arusha, Tanzania yenye postikodi namba 23301[1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 23,437 [2] walioishi humo.
Usa River pana makao makuu ya wilaya. Mji uko takriban katikati ya jiji la Arusha na Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjarokando la barabara kuu kutoka Arusha kwenda Moshi.
Usa River inajulikana kimataifa kutokana na chuo cha theolojia cha Makumira ambacho leo kimekuwa kitengo cha Chuo Kikuu cha Tumaini cha KKKT.
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
- ↑ https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/arusha.pdf[dead link]
- ↑ Sensa ya 2012, Arusha - Meru DC. Jalada kutoka ya awali juu ya 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-05-21.
![]() |
Kata za Wilaya ya Meru - Mkoa wa Arusha - Tanzania | ![]() |
---|---|---|
Akheri | Ambureni | Imbaseny | Kikatiti | Kikwe | King'ori | Leguruki | Majengo | Maji ya Chai | Makiba | Malula | Maroroni | Maruvango | Mbuguni | Ngabobo | Ngarenanyuki | Nkoanekoli | Nkoanrua | Nkoaranga | Nkoarisambu | Poli | Seela Sing'isi | Shambarai Burka | Songoro | Usa River |
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Arusha bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Usa River kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |