Ursino wa Bourges
Mandhari

Ursino wa Bourges (alifariki Bourges, leo nchini Ufaransa, karne ya 3) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo aliyemtangaza Kristo Bwana kwa umati.
Kwa ajili ya waamini, wengi wao fukara, aligeuza nyumba ya Leokadi, seneta Mpagani wa Galia, kuwa kanisa [1].
Gregori wa Tours alisimulia habari zake kwa kuzichanganya na hadithi zisizoaminika kihistoria[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 9 Novemba[3].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92982
- ↑ “Historia Francorum”
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Hippolyte Delehaye, The Legends of the Saints (Dublin, Four Courts Press, 1955), 37.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saints of November 9: Ursinus of Bourges Ilihifadhiwa 6 Februari 2007 kwenye Wayback Machine.
- (Kifaransa) Saint Ursin Ilihifadhiwa 19 Novemba 2007 kwenye Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |