Upelekaji

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Antena za televisheni.

Katika utarakilishi na mawasilianoanga, upelekaji (kwa Kiingereza: transmission in telecommunication) ni utume na uzalishaji wa taarifa za kidijiti kwa njia ya waya, nyuzi za kioo au bila waya.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.