Utarakilishi
Mandhari

Utarakilishi (kwa Kiingereza : "computing") ni utendaji unaotumia tarakilishi kwa kudhibiti na kuwasilisha taarifa. Maunzingumu na programu tete ni ndani ya utarakilishi. Utarakilishi ni muhimu katika teknolojia ya leo.
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Petzell, M. (2005). Expanding the Swahili vocabulary. Africa & Asia, 5, 85-107.
| Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |