Triviero

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Triviero (Neustria, leo nchini Ufaransa, karne ya 5 - Dombes, Ufaransa, 550 hivi) alikuwa mmonaki, halafu padri, na hatimaye mkaapweke karibu na Lyon[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.