Nenda kwa yaliyomo

Tiwi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Tiwi ni kata ya kaunti ya Kwale, eneo bunge la Matuga, nchini Kenya[1].

Tiwi ni makazi madogo na ya mapumziko yaliyoko pwani,[2] kaskazini mwa ufukwe wa Diani, takribani kilomita 17 kusini mwa Mombasa.[3]

Eneo limehudumiwa na uwanja wa ndege wa Ukunda uliopo barabara ya A14.

Historia

[hariri | hariri chanzo]

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kusini ya Kenya kwenye Bahari ya Hindi.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. Electoral Commission of Kenya: Registered voters per polling station by electoral area/ward and constituency Archived Septemba 29, 2007, at the Wayback Machine
  2. "Kenya Safari: Expert Advice & Custom Trips – Why Go". www.go2africa.com. Iliwekwa mnamo 2022-08-11.
  3. http://www.kilimanjaro.com/airlines/airkenya/schedule.htm