Tendaness
Tatenda Mandaza (alizaliwa mnamo tarehe 10 Septemba 1992), anajulikana Kitaalamu Kama Tendaness.Ni mzaliwa wa Eswatini, mtayarishaji wa rekodi, DJ na Mtunzi wa nyimbo.
Maisha ya Awali na Kazi[hariri | hariri chanzo]
Tatenda Mandaza alizaliwa Mbabane, mji mkuu wa Eswatini.Mama yake ni Mswati na baba yake ni Mzimbabwe.Alianza Kazi yake ya uimbaji mnamo mwaka 2007 - 2008 katika chumba chake cha kulala[1]
baada ya kupendezwa na Sanaa kutoka kwa rafiki yake wa shule ya upili.[2] Alipata jina lake la kisanii 'Tendaness' kutoka Kwan rafiki yake ambaye alimfundisha jinsi ya kutumia turntables mnamo mwaka 2008.[3]