Tendaness

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
mtayarishaji wa rekodi mzaliwa wa Swaziland, DJ na mtunzi wa nyimbo.

Tatenda Mandaza (alizaliwa mnamo tarehe 10 Septemba 1992), anajulikana Kitaalamu Kama Tendaness.Ni mzaliwa wa Eswatini, mtayarishaji wa rekodi, DJ na Mtunzi wa nyimbo.

Maisha ya Awali na Kazi[hariri | hariri chanzo]

Tatenda Mandaza alizaliwa Mbabane, mji mkuu wa Eswatini.Mama yake ni Mswati na baba yake ni Mzimbabwe.Alianza Kazi yake ya uimbaji mnamo mwaka 2007 - 2008 katika chumba chake cha kulala[1]

baada ya kupendezwa na Sanaa kutoka kwa rafiki yake wa shule ya upili.[2] Alipata jina lake la kisanii 'Tendaness' kutoka Kwan rafiki yake ambaye alimfundisha jinsi ya kutumia turntables mnamo mwaka 2008.[3]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]