Telangana

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha mbalimbali.

Telangana ni jimbo la 29 la jamhuri ya India, likiwa limeundwa rasmi tarehe 2 Juni 2014 kwa kutengana na Andhra Pradesh.

Kwa sasa ni la 12 kwa eneo na kwa idadi ya watu: kilometa mraba 114,840 na wakazi 35,193,978 (sensa ya mwaka 2011).

Makao makuu ni Hyderabad.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: