Lakshadweep

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kadmat Island, Lakshadweep.

Lakshadweep ni eneo la muungano la jamhuri ya India. Linaundwa na funguvisiwa la bahari ya Hindi lililojulikana kwanza kama Laccadive. Liko kilometa 200/440 kutoka pwani ya kusini-magharibi ya India.

Eneo lote ni la kilometa mraba 32 tu.

Makao makuu ni Kavaratti.

Wakazi ni 65,473 (2011). Wengi wao wana asili ya Kerala, na dini kubwa ni Uislamu.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu: