Stefano wa Piperi
Mandhari

Stefano wa Piperi (kwa Kiserbokroatia: Свети Стефан Пиперски; alifariki 20 Mei 1697) alikuwa mmonaki wa Kanisa la Kiorthodoksi la Serbia.
Anaheshimiwa na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
[hariri | hariri chanzo]Alizaliwa na wazazi fukara wenye imani katika kijiji cha Kuti, huko Župa (Montenegro).
Kisha kujiunga na monasteri ya Morača akawa abati wake.
Waturuki wa Dola la Osmani walipomfukuza, alihamia Rovacki, Turmanj (leo Celište).
Mwaka 1660 alihamia Piperi alipobaki chumbani hadi kifo chake.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Kigezo:Gr icon Ὁ Ὅσιος Στέφανος. 20 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |