Spoti Starehe

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Spoti Starehe ™
Jina la gazeti Spoti Starehe ™
Aina ya gazeti Linatolewa kila siku
Nchi Tanzania
Mwanzilishi Vicent Segona
Mhariri Business Times Limited
Mmiliki Vicent Segona
Makao Makuu ya kampuni Dar es Salaam
Tovuti https://spoti.co.tz

Spoti Starehe ni gazeti kutoka Dar es Salaam, nchini Tanzania.

Linatolewa kila siku kwa lugha ya Kiswahili na kampuni ya Business Times Limited inayotoa pia magazeti ya Dar Leo au Majira.

Magazeti ndugu[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Sanga, A. N. (2018). Mkengeuko wa ujumi wa kiafrika katika hadithi fupi andishi za kiswahili kipindi cha utandawazi: Mifano kutoka magazeti ya Habari Leo, Nipashe na Mwananchi (Doctoral dissertation, Chuo Kikuu cha Dodoma
  • Sturmer, M. (1998). The media history of Tanzania (p. 32). Ndanda: Ndanda Mission Press.