Majira (gazeti)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Majira
Jina la gazeti Majira
Nchi Tanzania
Makao Makuu ya kampuni Dar es Salaam
Tovuti http://majira-hall.blogspot.com/

Majira - Gazeti huru la kila siku ni gazeti kutoka Dar es Salaam, nchini Tanzania. Linatolewa kila siku kwa lugha ya Kiswahili na kampuni ya Business Times Limited inayotoa pia magazeti ya Dar Leo au Spoti Starehe.

Magazeti mengine TZ[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Sanga, A. N. (2018). Mkengeuko wa ujumi wa kiafrika katika hadithi fupi andishi za kiswahili kipindi cha utandawazi: Mifano kutoka magazeti ya Habari Leo, Nipashe na Mwananchi (Doctoral dissertation, Chuo Kikuu cha Dodoma
  • Sturmer, M. (1998). The media history of Tanzania (p. 32). Ndanda: Ndanda Mission Press.