Mwananchi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mwananchi
Jina la gazeti Mwananchi
Nchi Tanzania
Mchapishaji Mwananchi Communications Ltd
Makao Makuu ya kampuni Dar es Salaam
Tovuti http://www.mcl.co.tz/

Mwananchi ni gazeti kutoka Dar es Salaam, nchini Tanzania. Linatolewa kila siku kwa lugha ya Kiswahili na kampuni ya Mwananchi Communications Ltd. inayotoa pia magazeti ya Mwanaspoti na The Citizen (kwa Kiingereza).

Kampuni yake ni sehemu ya kampuni kubwa ya Nation Media Group ya Nairobi, Kenya.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno: