Solange

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Solange.

Solange (Sainte-Solange, Cher, leo nchini Ufaransa, 863 hivi - 10 Mei 878 hivi) alikuwa bikira Mkristo mzuri sana aliyekatwa kichwa na mwanamume aliyeshindwa kumpata kimapenzi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu bikira na mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.