Sangari
Jump to navigation
Jump to search
Sangari | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Sangari (Digitaria abyssinica) ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae iliyo na mnasaba na mfonio (D. Exilis na D. Iburua). Inafanana pia na lugowi (Cynodon sp.) lakini masuke yake ni membamba zaidi. Asili ya spishi hii ni Afrika ya Mashariki na ya Kati lakini imewasilishwa katika Afrika ya Kusini, Afrika ya Magharibi na Asia. Nyasi hili ni gugu baya katika mashamba.