Nenda kwa yaliyomo

Rikarda

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mozaiki ikimuonyesha Mt. Rikarda pamoja na mume wake.

Rikarda, OSB (pia: Richgard, Richgardis, Richardis, Richarde; 840 hivi – Andlau, leo nchini Ufaransa, 18 Septemba[1][2] 894 hivi) alikuwa mke[3] wa kaisari wa Dola Takatifu la Kiroma (Ujerumani) Karolo III[4][5][6]. Huyo alipofariki dunia, yeye alijiunga na monasteri aliyokuwa ameianzisha akaishi huko hadi kifo chake [7].

Mwaka 1049 alitangazwa na Papa Leo IX kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Septemba [8].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Reuter, Timothy (2006-11-02). Medieval Polities and Modern Mentalities (kwa Kiingereza). Cambridge University Press. ISBN 978-1-139-45954-9.
  2. Ragnow, Marguerite (2006). The Worldly Cares of Abbess Richildis: Power, Property, and Femail Religious in 11th-century Anjou (kwa Kiingereza). University of Minnesota.
  3. Mckitterick, Rosamond (2018-10-08). The Frankish Kingdoms Under the Carolingians 751-987 (kwa Kiingereza). Routledge. ISBN 978-1-317-87248-1.
  4. Frassetto, Michael (2013-03-14). The Early Medieval World [2 volumes]: From the Fall of Rome to the Time of Charlemagne [2 volumes] (kwa Kiingereza). Bloomsbury Publishing USA. ISBN 978-1-59884-996-7.
  5. The marriage was childless. Both Richardis and Charles stated in 887 under oath at the time of the charge of adultery that their marriage was unconsummated.
  6. Monumenta germaniae Historica, tomus V; Bernoldi Chronicon , Pag 421 Archived 2015-01-28 at the Wayback Machine
  7. http://www.santiebeati.it/dettaglio/70650
  8. Martyrologium Romanum

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

  • (Kilatini) Annales Bertiniani.
  • (Kilatini) Genealogiae Comitum Flandriae, in Monumenta Germaniae Historica, IX;
  • (Kilatini) Reginonis Chronicon, in Monumenta Germaniae Historica, I;
  • (Kilatini) Bernoldi Chronicon, in Monumenta Germaniae Historica, V;
  • (Kilatini) Annales Argentinenses, Monumenta Germaniae Historica, XVII;
  • (Kilatini) Annales Alamannicorum, Continuatio Sangallensis Prima, in Monumenta Germaniae Historica, I;
  • (Kilatini) Thegani Vita Hludovici Imperatoris, in Monumenta Germaniae Historica, II;

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

  • (Kiitalia) René Poupardin, I regni carolingi (840-918), in «Storia del mondo medievale», vol. II, 1979, pp. 583–635

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.