Nenda kwa yaliyomo

Rejinaldo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Rejinaldo (pia: Reginaldus, Réginald, Regnauld, Renaud, Rainaud[1]; karne ya 11 - 1103/1104[2]) kwanza alikuwa kanoni nchini Ufaransa, halafu akawa mkaapweke ili kushika vema zaidi amri za Bwana [3].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius IX tarehe 1 Oktoba 1868.

Sikukuu yake ni tarehe 17 Septemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Congregatio de Causis Sanctorum, Index ac status causarum, Città del Vaticano 1999.
  • Filippo Caraffa e Giuseppe Morelli (curr.), Bibliotheca Sanctorum (BSS), 12 voll., Istituto Giovanni XXIII nella Pontificia Università Lateranense, Roma 1961-1969.
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.