Raphael Chegeni
Mandhari
Dr. Raphael Masunga Chegeni (amezaliwa 25 Mei 1964) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha CCM. Alichaguliwa kuwa mbunge wa Busega kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Kwenye Julai 2022 aliteuliwa na rais Samia Suluhu Hassan kuwa mkuu wa Mkoa wa Mara[2] lakini baada ya siku tatu uteuzi wake ulitenguliwa[3].
Marejeo
- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania Ilihifadhiwa 18 Mei 2017 kwenye Wayback Machine., iliangaliwa Mei 2017
- ↑ President Samia changes 10 Regional Commissioners, drops 9 in latest appointments Ilihifadhiwa 28 Julai 2022 kwenye Wayback Machine., The Citizen 28 Julai 2022
- ↑ https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/rais-samia-atengua-uteuzi-wa-rc-mara-ateua-mpya-3898382
| Makala hii kuhusu kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Raphael Chegeni kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |