Prokopi wa Sazava
Mandhari

Prokopi wa Sazava (Chotoun, Bohemia, takriban mwaka 970 – Sazava, Bohemia, 25 Machi 1053) alikuwa Mkristo ambaye, kwa kuacha mke na mtoto, akawa mmonaki Mbenedikto, mkaapweke na hatimaye abati wa monasteri aliyoianzisha Sazava (Ucheki) akifuata madhehebu ya Kigiriki na kutumia lugha ya Kislavoni.
Tarehe 2 Juni 1204 alitangazwa na Papa Inosenti III kuwa mtakatifu[1].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Mortensen, Lars Boje (2006). The Making of Christian Myths in the Periphery of Latin Christendom (c. 1000-1300) (kwa Kiingereza). Museum Tusculanum Press. uk. 88. ISBN 978-87-635-0407-2.
- ↑ Martyrologium Romanum
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Hugo Fabricius, Požehnaná Památka Welikého Swěta Diwotworce Swatýho Prokopa, Kutná Hora (1780).
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Saint Procopius
- Saints of July 14: Procopius of Sázava
- (Kiitalia) San Procopio di Sazava
- History (klaster-sazava.cz)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |