Poponi abati
Mandhari

Poponi abati, O.S.B. (pia: Poppo; Deinze, leo nchini Ubelgiji, 977 - Marchiennes, leo nchini Ufaransa, 25 Januari 1058) alikuwa abati huko Stavelot, leo nchini Ubelgiji, aliyejitahidi kueneza urekebisho wa monasteri za Kibenedikto ulioanza Cluny[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 25 Januari[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Timothy Reuter et al (2000), The New Cambridge Medieval History, ISBN|978-0-521-36447-8, page 182
- ↑ Uta-Renate Blumenthal (1991), The Investiture Controversy, ISBN|978-0-8122-1386-7, pages 42–3
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/38670
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Poppo at Catholic Encyclopedia online
- Poppo at Patron Saints Index
- Saint of the Day, January 25: Poppo of Stavelot Ilihifadhiwa 5 Januari 2020 kwenye Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Dutch history article about Deinze
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |