Ponsyano wa Spoleto
Mandhari

Ponsyano wa Spoleto (kwa Kilatini: Pontianus; 156 - Spoleto, Umbria, Italia, 14 Januari 175) alikuwa kijana Mkristo aliyefia dini yake hiyo kwa kupigwa kikatili na hatimaye kuchomwa kwa upanga wakati wa dhuluma ya kaisari Antoninus Pius (au Marcus Aurelius)[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 19 Januari[4].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/91277
- ↑ "Festa di S. Ponziano, patrono di Spoleto". Archidiocesi di Spoleto-Norcia (kwa Kiitaliano). 14 Januari 2013. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-08-13. Iliwekwa mnamo 2020-04-14.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "Santi e Beati della Diocesi". Archidiocesi di Spoleto-Norcia (kwa Kiitaliano). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2013-07-27. Iliwekwa mnamo 2020-04-14.
- ↑ Martyrologium Romanum
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |