Petronila wa Roma
Mandhari
Petronila wa Roma (alifariki mjini Roma, Italia, karne ya 1) alikuwa bikira Mkristo. Kwa sababu hiyo aliuawa wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake ni tarehe 31 Mei[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Patron Saints Index: Petronilla
- Saints of May 31: Petronilla Archived 16 Agosti 2017 at the Wayback Machine.
- Altar in St Peter's Basilica
- Colonnade Statue St Peter's Square
- Image of Petronilla from catacomb Archived 25 Septemba 2017 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |