Pepe-Kalle

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pepe-Kalle
Pepe-Kalle Cover
Studio album ya Pepe Kalle
Imetolewa 1989
Imerekodiwa 1988-1989
Aina Soukous
Lebo Afro-Rythmes (Ufaransa — CD, LP, Cassette)
Wendo wa albamu za Pepe Kalle
"L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!"
(1988)
"Pepe-Kalle"
(1989)
"Pon Moun Paka Bougé"
(1989)


"Pepe-Kalle" ni albamu iliyotoka mwaka 1989 kutoka kwa mwanamuziki wa muziki wa soukous kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Pepe Kalle. Albamu ina nyimbo nne tu basi. Hii ni albamu ya tano ya Pepe Kalle kuitengeneza akiwa nchini Ufaransa baada ya Soucis Ya Likinga, Kwasa Kwasa, Moyibi na L'Argent Ne Fait Pas Le Bonheur!.

Orodha ya nyimbo[hariri | hariri chanzo]

Zifuatazo ni orodha kamili ya nyimbo zinapatikana katika albamu hii.

  1. Cé Chalè Carnaval
  2. Djoni Bitoto
  3. Tiembe Raid Pa Moli
  4. Ndako Ya Zeke


Viungo vya Nje[hariri | hariri chanzo]