Paulino wa Trier

Sanamu yake.
Paulino wa Trier (alizaliwa Gascony, Ufaransa[1] - alifariki Frigia, leo nchini Uturuki, 358) alikuwa askofu wa mji huo (leo nchini Ujerumani).
Alitetea imani sahihi dhidi ya Uario, na kwa ajili hiyo alipelekwa na kaisari Konstans II uhamishoni[2][3], alipofariki miaka 5 baadaye.
Tangu zamani anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na babu wa Kanisa.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 31 Agosti[4][5].
Tazama pia[hariri | hariri chanzo]
- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Mababu wa Kanisa
Tanbihi[hariri | hariri chanzo]
- ↑ Catholic Encyclopedia: " Diocese of Poitiers"
- ↑ Carl L. Beckwith, "The Condemnation and Exile of Hilary of Poitiers at the Synod of Beziers (356 C.E.)", Journal of Early Christian Studies 13:1
- ↑ NPNF2-09. Philip Scgaff, ed. "Hilary of Poitiers, John of Damascus"; Daniel H. Williams, Ambrose of Milan and the End of the Arian-Nicene Conflicts (1995), p. 53.
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Latin Saints of the Orthodox Patriarchate of Rome
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- August 31 in German History Archived 15 Machi 2013 at the Wayback Machine.
![]() |
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |