Paskari wa Nantes

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Paskari.

Paskari wa Nantes (pia: Pascharius, Pascaire, Pasquier; alifariki 635 hivi) alikuwa askofu wa 20 wa mji huo huko Bretagne, leo nchini Ufaransa, ambaye aliwakaribisha Ermelandi na wenzake 12 wakaanzishe monasteri katika kisiwa cha Indre [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 10 Julai[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/61660
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.