Pasiensi wa Metz

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pasiensi wa Metz (aliishi katika karne ya 4) alikuwa askofu wa nne wa mji huo (leo nchini Ufaransa)[1]

Inasemekana aliongoza kanisa hilo miaka 14.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Januari[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.