Pantagati

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Pantagati wa Vienne (475 hivi - 540 hivi) alikuwa askofu wa mji huo wa Burgundy (leo nchini Ufaransa)[1][2][3].

Aliacha majukumu ikulu asomee upadri. Baada ya mwaka 536 alifanywa askofu akashiriki mtaguso wa Orleans wa mwaka 538[4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[5].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Aprili[6].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k63287c/f8.image
  2. https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k6213057p/f166.item
  3. Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule. Provinces du Sud-Est (tome premier), ed. Thorin et fils, Paris, 1894, vol. 3, pp.|190-191: https://gallica.bnf.fr/ark:/12148/bpt6k6213057p/f208.image
  4. http://www.santiebeati.it/dettaglio/49820
  5. https://www.diocese-grenoble-vienne.fr/histoire.html
  6. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.