Oto wa Ariano
Mandhari

Oto wa Ariano (Roma, Italia, 1040 - 23 Machi, 1127) alikuwa mmonaki Mbenedikto halafu mkaapweke kutoka familia tajiri, ambaye alishika toba baada ya kuwa askari katika ujana wake[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/91968
- ↑ Martyrologium Romanum
- ↑ Paul Guérin (a cura di), Vie des Saints des Petits Bollandistes, Parigi, Bloud et Barral editori, 1876, tomo III, p. 607.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- A.D’Agostino, Sant'Ottone Frangipane - Ariano, Stab. Tip. Appulo Irpino, 1892.
- B.A.Grasso, Sant'Ottone Frangipane nella storia e nella leggenda - Ariano, Stab. Tip. Appulo Irpino, 1901.
- F.De Stasio-D. Minelli, I Santi Patroni di Ariano e le Sante Spine - Marigliano, 1982
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Sant’Ottone Frangipane (Kiitalia)
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |