Osburga

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Osburga (jina asili: Osburh; alifariki Coventry, Uingereza, 1018 hivi [1] ) alikuwa abesi wa kwanza wa monasteri ya huko [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Machi[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Baxter, Stephen (2007), The Earls of Mercia: Lordship and Power in Late Anglo-Saxon England, Oxford: Oxford University Press, ISBN 978-0-19-923098-3 
  • Blair, John (2002), "A Handlist of Anglo-Saxon Saints", in Thacker, Alan; Sharpe, Richard, Local Saints and Local Churches in the Early Medieval West, Oxford: Oxford University Press, pp. 495–565, ISBN 0-19-820394-2 
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.