Onesimo Nesib

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha na sahihi zake halisi.

Onesimo Nesib (kwa Kioromo: Onesimoos Nasiib; 1856 hivi – 21 Juni 1931) alikuwa Mworomo aliyejiunga na madhehebu ya Walutheri (31 Machi 1872) akawa mmisionari nchini Ethiopia akatafsiri Biblia ya Kikristo katika Kioromo. Hivyo amekuwa mwanzilishi wa fasihi ya Kioromo ya kisasa[1].

Onesimo Nesib anatazamwa kama mtakatifu katika Lutheran Book of Worship ya Marekani.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Juni.

Matoleo[hariri | hariri chanzo]

  • The Bible. 1893.
  • The Galla Spelling Book. Moncullo: Swedish Mission Press, 1894.

Chanzo[hariri | hariri chanzo]

  • Arén, Gustav. 1978. Evangelical Pioneers in Ethiopia. Stockholm: EFS Vorlage.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Fighting Against the Injustice of the State and Globalization: Comparing the African American and Oromo Movements p.73. Asafa Jalata, 2001

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.