Oliva wa Anagni

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Scultura di Santa Oliva, chiesa di Castro dei Volsci, FR.
Sanamu ya Mt. Oliva, kanisa la Castro dei Volsci, Frosinone, Italia.

Oliva wa Anagni (alifariki Anagni, Lazio, Italia, 492), alikuwa bikira ambaye alikataa kuolewa akaenda kuishi upwekeni hadi kifo chake ujanani [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu bikira.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni [2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.