Olga wa Kiev
Mandhari

Olga wa Kiev (kwa Kirusi: Ольга; Pskov[1], Urusi, 890-925 hivi [2][3] – Kiev, Ukraina, 969[4]) alitawala utemi wa Kiev kwa niaba ya mwanae kuanzia mwaka 945 hadi 960.
Baada ya kupokea ubatizo alijitahidi sana kueneza Ukristo nchini. Kazi hiyo ilikamilishwa na mjukuu wake, Vladimir Mkuu[5].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Karpov, A.Y. (2009). Princess Olga (kwa Russian). Moscow: Molodaya Gvardiya. uk. 31. ISBN 978-5-235-03213-2.
{{cite book}}: CS1 maint: unrecognized language (link) - ↑ Michael S. Flier, "St Olga," in The Oxford Dictionary of the Middle Ages, ed. Robert E. Bjork (Oxford: Oxford University Press, 2010).
- ↑ "Princess Olga of Kiev," Russiapedia, https://russiapedia.rt.com/prominent-russians/history-and-mythology/princess-olga-of-kiev/.
- ↑ Ciaran Conliffe, "Saint Olga, Queen of Kiev," HeadStuff, May 10, 2016, , https://www.headstuff.org/culture/history/saint-olga-queen-of-kiev/.
- ↑ https://www.santiebeati.it/dettaglio/61750
- ↑ "Святая княгиня Ольга". Русская вера (kwa Kirusi). Iliwekwa mnamo 2019-08-08.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
