Mjukuu
Mjukuu ni mtoto wa mwanao, bila kujali jinsia yako wala yake. Yeye anakuita babu au bibi.[1]
Mtoto wake tena anaitwa kitukuu, mtukuu au kusukuu.[1]
Katika Kiswahili ni maarufu mithali inayosema, "Majuto ni mjukuu", kwa maana mara nyingi jambo la hatari ulifanyapo kwa wakati husika, waweza kujuta baadaye.[2]
Marejeo[hariri | hariri chanzo]
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
- ↑ 1.0 1.1 eLimu | Msamiati: Nasaba/ Ukoo. learn.e-limu.org. Iliwekwa mnamo 2022-04-12.
- ↑ Ngii, Jacline (2010-12-13). "Majuto Ni Mjukuu". Kiswahili Story Database (0). https://www.africaknowledgeproject.org/index.php/ksd/article/view/770.