Niseta Mgoti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Mt. Nikita, karne ya 16.

Niseta Mgoti (pia: Nikita; kaskazini kwa mto Danubi[1], 340 hivi - 370 hivi) alikuwa Mkristo wa kabila la Wagoti aliyeuawa na mfalme Atanariki kwa ajili ya imani yake ya Kikatoliki kwa kuchomwa moto[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Septemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.