Nikasi, Kwirini na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kwirini

Nikasi, Kwirini na wenzao Skuvikuli na Piensya (walifariki katika eneo la Vexin, leo nchini Ufaransa, 285 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa kutokana na imani ya Kikristo[1][2].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 11 Oktoba[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.