Narendra Modi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Narendra Modi


Aliingia ofisini 
26 Mei 2014
Rais Ram Nath Kovind
Pranab Mukherjee
mtangulizi Manmohan Singh

tarehe ya kuzaliwa 17 Septemba 1950 (1950-09-17) (umri 73)
Vadnagar, Uhindi
chama Muhindi watu chama cha
chamakingine Jumuiya ya Kitaifa ya Kidemokrasia
ndoa Jashodaben Modi (m. 1968; iliyotengwa)[1]
makazi 7, Lok Kalyan Marg, New Delhi, Uhindi
mhitimu wa University of Delhi
signature
tovuti Official website
Government website

Narendra Damodardas Modi (amezaliwa 17 Septemba 1950) ni mwanasiasa wa India anayehudumu kama Waziri Mkuu wa 14 na wa sasa wa Uhindi tangu mwaka 2014.

Awali alikuwa Waziri Mkuu wa Gujarat kutoka mwaka 2001 hadi 2014 na ni Mbunge wa Bunge la Taifa kwa jimbo la Varanasi.

Modi ni mwanachama wa chama cha Kihindu Bharatiya Janata Party (BJP).[2]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. "Jashodaben, named by Narendra Modi as his wife, prays for him to become PM". 
  2. Gettleman, Jeffrey; Goel, Vindu; Schultz, Kai; Raj, Suhasini; Kumar, Hari (2019-05-23), "Narendra Modi, India’s ‘Watchman,’ Captures Historic Election Victory", The New York Times (kwa en-US), ISSN 0362-4331, iliwekwa mnamo 2020-07-13 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Narendra Modi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.